forked from WA-Catalog/sw_tn
815 B
815 B
kwa ukamilifu
"kikamilifu" au "kabisa"
kuongeza moja ya tano
Tazama lilivyotafsiriwa katika 5:15
kumlipa anayedai
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. :"kulipa mtu anayemdai"
anayopatikana na hatia
Mtu aliyeiba yapasa kuletwa mbele ya mwamuzi na kutangazwa mwanyehatia. : "sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. "hakimu anamtangaza kuwa mwenye hatia"
inayolinga na thamani ya sasa
Tazama 5:14 uone lilivyofasiriwa
Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kuhani atapatanisha kwa ajili yake"
mbele ya Yahweh,
katika uwepo wa Yahweh"
naye atakuwa amesamehewa
Hii humaanisha Yahweh atamsamehe mtu huyo, siyo kuhani. Hii yaweza kutafasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mungu atamsamehe yeye"