forked from WA-Catalog/sw_tn
781 B
781 B
waliokufa
" wale ambao walikufa" au " roho za wafu"
tetemeka
wanatetemeka kwa sababu wanamwogopa Mungu. KTN: "kutetemeka kwa hofu" au "kutetemeka kwa hofu ya Mungu"
wale ambao wapo chini ya maji
Hii inaelezea watu waliokufa ambao hutetemeka"
wote wanaoishi ndani yake
hii nazungumzia kuhusu watu waliokufa ambao hutetemeka. neno "yake" linamaanisha kwenye maji
kuzimu ipo tupu mbele za Mungu; uharibifu mwenyewe hauna kifuniko
kuzimu inaongelewa kana kwamba ni mtu. kuwa "tupu" au kukosa" kifuniko" ni kuwa wazi kabisa na kushindwa kuficha chochote. KTN: " Ni kama kuzimu ilivyo wazi mbele za Mungu, maana hakuna kitu kuzimu, au sehemu ya uharibifu ambayo imejificha kwa Mungu"
uharibifu
hili ni neno jingine kumaanisha kuzimu. KTN: "sehemu ya uharibifu"