forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
360 B
Markdown
17 lines
360 B
Markdown
# Aliweke mbele yao maneno yote
|
|
|
|
Mwandishi ana andika kuhusu Musa kuwaambia watu vitu kana kwamba alikuwa ana weka maneno mbele yao.
|
|
|
|
# maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru
|
|
|
|
Neno "maneno" ya husu kile Yahweh alicho sema.
|
|
|
|
# musa akaja kutoa taarifa
|
|
|
|
Pale Musa alipo enda pa weza andikwa wazi.
|
|
|
|
# maneno ya watu
|
|
|
|
Neno "maneno" ya husu kile watu walicho sema.
|
|
|