forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
415 B
Markdown
13 lines
415 B
Markdown
# Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko ... kuolewa na Mbenyamini
|
|
|
|
Mwandishi anatuambia juu ya ahadi waliyoifanya Waisraeli kabla ya vita na Wabenyamini.
|
|
|
|
# Mbenyamini
|
|
|
|
Hili ni jina la uzao wa Benyamini.
|
|
|
|
# Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?
|
|
|
|
Waisraeli walitumia swali hili kuelezea ni kwa namna gani walikuwa na huzuni kubwa.
|
|
|