forked from WA-Catalog/sw_tn
349 B
349 B
Bonde la Sereki
Hili ni jina la bonde lililokuwa karibu na nyumba ya Samsoni.
Danganya
ni kitendo cha kumpotosha mtu ili afanye jambo ambalo hataki kufanya.
ili uone
"ili uelewe" au "ili ujifunze"
mahali zilipo nguvu zake kuu
"kinachomsababisha awe na nguvu"
kwa namna gani tunaweza kumshinda
"kwa jinsi gani tunaweza kumshinda"