forked from WA-Catalog/sw_tn
759 B
759 B
...wewe, mwanamke, nakuandikia
Ni maneno ambayo yametumiwa katika hali ya umoja.
kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba
"Kama vile Mungu Baba alivyo tuagiaza"
siyo kwamba nakuandikia amri mpya
" siyo kwamba nakuagiza kufanya jambo jipya"
bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo
Hapa neno "mwanzo" inamaanisha " tulipoamini kwa mara ya kwanza" kwa maneno mengine:- " lakini nawaandikia kama tulivyoagizwa na Kristo kufanya tulipoamini mara ya kwanza."
tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.
Hii inaweza kutafisiriwa kama sentensi mpya: "Na alitupa amri kwamba tunapaswa kupendana."
Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
" Mungu amewaagiza tangu mwanzo mlipoamini mpendane"