forked from WA-Catalog/sw_tn
443 B
443 B
kama mmoja
Hii inazungumzia kundi la watu ambalo lipo kama mtu mmoja.
Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake ... hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake
Sentensi hizi mbili zina maana moja na hapa zinaonesha msisitizo. "Tutakaa hapa wote"
Lakini sasa
Maneno haya yanaonesha ni kitu gani watu walikuwa wanazungumza.
kama kura inavyotuongoza
Hii inahusisha kuzungusha mawe madogo ili kujua Mungu anataka nini.