forked from WA-Catalog/sw_tn
373 B
373 B
mizoga ya wafalme wao
Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu zimekufa haziko hai.
Wameasi
"Nyumba ya Israeli imeasi"
matendo ya machukizo
Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:9.
nimewala kwa hasira yangu
Hili neno linamaanisha "nimewaangamiza kabisa kwa sababu nilikuwa na hasira."