forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
661 B
Markdown
21 lines
661 B
Markdown
# kwa majirani zake
|
|
|
|
Hapa "majirani" inamaanisha watu mataifa ya karibu.
|
|
|
|
# Umeinua mkono wa kuume wa adui zake
|
|
|
|
Hapa "mkono wa kuume" unawakilisha uwezo. "Kuinua mkono wa kuume" inamaanisha kuwa Yahwe aliwafanya adui zake kuwa na nguvu ya kutosha ya kumshinda mfalme aliye chaguliwa na Mungu.
|
|
|
|
# geuza nyuma makali ya upanga wake
|
|
|
|
Hapa "upanga" unawakilisha nguvu ya mfalme vitani. Kugeuza upanga inawakilisha kumfanya mfalme kushindwa kushinda vitani.
|
|
|
|
# makali ya upanga wake
|
|
|
|
Hapa "makali" inawakilisha upanga wote. "upanga wake"
|
|
|
|
# hujamfanya asimame wakati akiwa vitani
|
|
|
|
Hapa "asimame" inawakilisha kuwa mshindi vitani. "Hujamsaidia kuwa mshindi vitani"
|
|
|