forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
415 B
Markdown
21 lines
415 B
Markdown
# Kwa kuwa uaminifu wako wa agano ni mkuu kwangu
|
|
|
|
"Kwa kuwa wewe ni mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako"
|
|
|
|
# umeokoa maisha kutoka vilindi vya kuzimu
|
|
|
|
Hii haimaanishi kuwa Mungu alimfufua baada ya kufa. Inamaanisha kuwa Mungu alimwokoa alipotaka kufa.
|
|
|
|
# wenye kiburi
|
|
|
|
"watu wenye kiburi"
|
|
|
|
# wameinukadhidi yangu
|
|
|
|
"wanakuja pamoja kunidhuru"
|
|
|
|
# wanatafuta maisha yangu
|
|
|
|
Hii ni njia ya kusema wanataka kumuua.
|
|
|