forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
690 B
Markdown
33 lines
690 B
Markdown
# usiwe mbali nami
|
|
|
|
"kaa karibu nami"
|
|
|
|
# harakisha kunisaidia
|
|
|
|
"nisaidie mapema"
|
|
|
|
# Acha waaibike na kuangamia, wale walio na uhasama na maisha yangu
|
|
|
|
"Acha wale walio na uhasama na maisha yangu waaibike na kuangamizwa"
|
|
|
|
# Acha waaibike na kuangamia
|
|
|
|
"Waaibishe na kuwaangamiza"
|
|
|
|
# wale walio na uhasama na maisha yangu
|
|
|
|
"wale wanaonishtaki kwa kufanya kosa"
|
|
|
|
# acha wafunikwe na lawama na fedheha, wale wanaotafuta kuniumiza
|
|
|
|
"acha wale wanaotafuta kuniumiza wafunikwe na lawama na fedheha"
|
|
|
|
# acha wafunikwe kwa lawama na fedheha
|
|
|
|
"wafunike kwa lawama na fedheha." "na kila mtu awalaumu, na mtu yeyote asiwape heshima"
|
|
|
|
# wale wanaotafuta kuniumiza
|
|
|
|
"wale wanaotafuta njia za kunidhuru"
|
|
|