forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
287 B
Markdown
13 lines
287 B
Markdown
# humsifu jirani yake
|
|
|
|
humwambia jirani yake mambo ya uongo ili afanye makosa
|
|
|
|
# hutandaza mtego katika miguu yake
|
|
|
|
"hutega mtego kumnasa mtu huyo"
|
|
|
|
# katika dhambi ya mtu mwovu kuna mtego
|
|
|
|
Hutamani kufanya mabaya kwa watu wengine, lakini Mungu atayatumia matendo yake hayo kumwadhibu.
|
|
|