forked from WA-Catalog/sw_tn
353 B
353 B
yule mwenye busara katika moyo wake anaitwa ufahamu
" watu watamwita ufahamu yule mwenye busara katika moyo" au " yule mwenye busara katika moyo atapata heshima ya kuwa mtu mwenye ufahamu"
utamu wa kauli
"kauli ya upole" au "kaui ya kufurahisha"
ufahamu ni chemchemi ya uzima
" ufahamu ni kama chemchemi itiririkayo maji yanayotoa uzima"