forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
339 B
Markdown
17 lines
339 B
Markdown
# wakati dhabihu ya hatia inapotolewa
|
|
|
|
...wapumbavu hawaombi msamaha kwa Mungu au watu kwa ajili ya mambo mabaya wanayofanya.
|
|
|
|
# lakini miongoni waadilifu hushiriki fadhila
|
|
|
|
"lakini waadilifu hufurahia wema pamoja" au "Wema wa Mungu huonekana miongoni mwa waadilifu"
|
|
|
|
# uchungu
|
|
|
|
"huzuni" au "simanzi"
|
|
|
|
# hakuna mgeni
|
|
|
|
"wale wasiomfahamu"
|
|
|