forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
na uyasikilize maneno yangu
"sikiliza kwa kuzingatia ninachokufundisha"
utakuwa na miaka mingi ya maisha yako
"utaishi miaka mingi"
Nianakulekeza katika njia ya hekima; Mimi ninakuongoza kwenye njia nyoofu
"niakufundisha jinsi ya kuishi kwa busara; ninafafanua njia njema ya kuishi"
unapotembea, hapana mtu atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia, hutajikwaa
"unapopanga kitu, utafanikiwa kukitekeleza"