forked from WA-Catalog/sw_tn
670 B
670 B
Esntensi ungsnishi
Yesu anaufafanua ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mbegu ambayo hukua na kuwa mti mkubwa
Ufalme wa mbinguni unafanana n a
"Wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme kuwa mfalme, itakuwa kama", Tazama 13:24.
mbegu ya haradari
ni mbegu ndogo sana ambayo huweza kukua na kuwa mti mkubwa
Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote
Mbegu za haradari zilikuwa mbegu ndogo zadi ambazo zilifahamika kwa wasikilizaji wa kwanza
Lakini imeapo
"Lakini mmea unapokuwa"
huwa kubwa kuliko
ni mkubwa kuliko
huwa mti
Mmea wa haradli hukua kiasi cha mita 2 had 4 za urefu
ndege awa angani
"ndege"