forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
481 B
Markdown
37 lines
481 B
Markdown
# Hurarua
|
|
|
|
Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi. Farasi huchimbua ardhi kwasababu anakuwa amesisimka kuanza kupigana.
|
|
|
|
# hurarua
|
|
|
|
"kuchimbua ardhi kwa kutumia kwato"
|
|
|
|
# hudharau
|
|
|
|
"kuchekelea"
|
|
|
|
# hashangazwi
|
|
|
|
"kuogopeshwa'' au ''kuhofu''
|
|
|
|
# harudi nyuma
|
|
|
|
"hakimbii mbali''
|
|
|
|
# podo
|
|
|
|
ni chombo ambacho hutunza mishale
|
|
|
|
# hugongagonga
|
|
|
|
"kutikisika na kutoa kelele''
|
|
|
|
# ubavuni
|
|
|
|
sehemu za pembeni za farasi
|
|
|
|
# fumo
|
|
|
|
ni mti mrefu uliochongoka mwishoni ambao watu huurusha kwa maadui zao.
|
|
|