forked from WA-Catalog/sw_tn
468 B
468 B
Akiwa Ezra anaomba na kutubu...akajirusha mwenyewe chini
Ezra anajiongelea mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine
akajirusha mwenyewe chini
upesi kutoka katika hali ya kusimama na kuwa hali ya kulala uso ukiangalia chini
mbele ya nyumba ya Mungu
mbele ya hekalu
Shekania
Kama ilivyotafsiriwa katika 8:4
Yehieli
Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8
Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu wetu
Hii ilifanywa kama toba ya hadharani, sio madai ya kujivuna