forked from WA-Catalog/sw_tn
446 B
446 B
Ona
"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakalo kwambia."
Nina kujua kwa jina
Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vizuri.
umepata upendeleo kwangu
Hii ni moja ya ambacho Mungu alimwambia Musa.
Kama nimepata upendeleo machoni pako
Hii ni moja ya Musa aliyo mwambia Mungu.
nionyeshe njia zako
Maana inayo wezekana ni 1) "nionyeshe unacho kwenda kufanya mbeleni" au 2) "nionyeshe jinsi watu wanawezaje kufanya yanayo kupendeza"