forked from WA-Catalog/sw_tn
430 B
430 B
Mwanae atakapo kuuliza baadae, 'Hii ina maana gani?' kisha utamwambia
Nukuu ya kwanza yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
mkono hodari
Neno "mkono" hapa ya wakilisha matendo ya Mungu au kazi.
nyumba ya utumwa
Musa ana i zungumzia Misri kama ni nyumba watu wana hifadhia watumwa.
kumbukumbu mikononi mwako na kumbukumbu kwenye paji lako la uso
Hii ni kumbukumbu mbili ili watu wasisahau kitu muhimu.