forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
369 B
Markdown
13 lines
369 B
Markdown
# Tazama sasa
|
|
|
|
Neno "tazama" linaongeza msisitizo wa kile kinachofuata.
|
|
|
|
# na kuwa roho idanganyayo katika vinywa vya manabii
|
|
|
|
Neno "roho" linamaanisha mtazamo wa manabii; "vinywa" inamaanisha kile watakachosema. "Nitawafanya manabii wote waseme uongo"
|
|
|
|
# BWANA ameweka roho idanganyayokwenye vinywa vya hawa manabii wako
|
|
|
|
"amewafanya manabii wako wote kuongea uongo"
|
|
|