forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
723 B
Markdown
29 lines
723 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mungu anaendelea kuzungumza ujumbe Nathani anao paswa kumpa Daudi.
|
|
|
|
# nitawapanda hapo
|
|
|
|
Mungu ana taja kuwaweka Waisraeli kwenye nchi ya ahadi kama mmea aliyo uotesha kwenye ardhi. "Nitawapandikisha hapo"
|
|
|
|
# siku zile nilipo waamuru
|
|
|
|
Kipindi cha vizazi vingi kina tajwa kama siku. "nilipo amuru" au kutoka vizazi nilivyo amuru"
|
|
|
|
# kuwa juu ya watu wangu Waisraeli
|
|
|
|
Kuwa katika mamlaka yaelezwa kama kua juu ya mtu. "kuwaamuru watu wangu Israeli"
|
|
|
|
# maadui zako wote ... nina kwambia
|
|
|
|
Maneno "zako" na "nina kwambia" ya muhusu Daudi.
|
|
|
|
# nitawatiisha
|
|
|
|
kumfanya mtu au mnyama asiweze kutembea.
|
|
|
|
# nitakujengea nyumba
|
|
|
|
Yahweh anaeleza kumpa Daudi wazao wengi kutawala juu ya Israeli kama kumjenga nyumba.
|
|
|