forked from WA-Catalog/sw_tn
556 B
556 B
alimpa Hebroni kama urithi wake
Hebroni inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao Kalebu aliupokea kama mali ya kudumu.
hata leo
hii inarejelea kipindi ambacho mwandishi wa kitabu hiki
alimfuata kabisa Yahweh,
Kuwa mwaminifu kwa Yahweh kunatajwa kana kwamba kumfuata Yahweh kweli kweli. "Alibaki akiwa mwaminifu kwa Yahweh"
Kiriathi Arba
Hili ni jina la mahali/sehemu
Kisha nchi ikawa na raha bila vita.
Watu walikuwa hawapigani vita tena. Hali hii inaangaliwa kama nchi kupumzika kama vile mtu anavyopumzika kutoka katika vita.