forked from WA-Catalog/sw_tn
632 B
632 B
Maelezo ya Jumla:
Hii inaendeleza nukuu ya nabii Yeremia katika Agano la Kale
Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao
Hii ni sehemu ya pili ya ushuhuda wa Roho Mtakatifu (tazama 10:15). Kisha asema, "Sitazikumbuka dhambi zao na makosa yao."
Sitazikumbuka dhambi zao
"Sitazikumbuka dhambi zao"au "sitafikiri tena kuhusu dhambi zao"
Sasa
Hii haimaanishi "wakati huu," lakini imetumika kuvuta usikivu kwa kipengele kinachofuata.
mahali palipo na msamaha kwa mambo haya
"wakati Mungu aliposamehe mambo haya"
hakuna tena dhabihu yeyote kwa ajili ya dhambi
"watu wao hawahitajiki kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi"