forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Kwa mamlaka gani mnafanya mambo haya
Maneno "mambo haya" yanalejea kwa Yesu kupindua meza za wauzaji hekaluni na kuzungumza dhidi ya vitu walivyofanya na walichofundisha.
Kwa mamlaka gani mnafanya mambo haya, na ni nani aliyewapa ninyi mamlaka ya kuyafanya.
"Hamna mamlaka kufanya mamba haya kwa sababu hatujawapa ninyi mamlaka."