forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
807 B
Markdown
29 lines
807 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Simlizi ya Tabitha inaishia katika mstari 42, na mstari 43 unatuambia kilichokuwa kinaendelea kwa Petro baada ya simlizi ya Tabitha kumalizika.
|
|
|
|
# Akawatoa wote nje
|
|
|
|
Kwa shauri hili, Petro aliwafanya kila mmoja kuondoka ili aweze kuwa pekee yake na kuomba kwa ajili ya Thabitha.
|
|
|
|
# akampa mkono wake akamwinua
|
|
|
|
Petro alimshika mkono wake na kumsaidia kuinuka.
|
|
|
|
# waumini na wajane,
|
|
|
|
Hata wajane yawezekana walikuwa waumini, lakini hapa wametambulishwa kwa jina la wajane kwasababu Tabitha alikuwa mtu muhimu kwao.
|
|
|
|
# Jambo hili kujulikana Yafa yote
|
|
|
|
Muujiza wa Petro kumfufua Tabitha kutoka kwenye kifo ukajulikana na watu wote wa Yafa.
|
|
|
|
# Walimwamini Bwana
|
|
|
|
"waliiamini injili ya Bwana Yesu."
|
|
|
|
# Ikatokea kwamba Petro alikaa
|
|
|
|
"Ikatokea kuhusu kwamba Petro akakaa huko kwa muda"
|
|
|