forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
390 B
Markdown
21 lines
390 B
Markdown
# Kujenga kanisa
|
|
|
|
Ni watu waliwaofundisha watu kuhusu Yesu na kuwashawishi wamwamini Yesu.
|
|
|
|
# Neema niliyopewa mimi
|
|
|
|
"kwamba Mungu amekuwa mwema kwangu"
|
|
|
|
# kutupokea....mkono wa kulia wa ushirika
|
|
|
|
"Waliwakaribisha...kama watendakazi wenzao" au "waliwakaribisha...kwa heshima"
|
|
|
|
# Mkono wa kulia
|
|
|
|
"Mikono yao ya kuume"
|
|
|
|
# Kuwakumbuka masikini
|
|
|
|
"kushughulikia au kujali mahitaji ya masikini"
|
|
|