forked from WA-Catalog/sw_tn
498 B
498 B
Tuna nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazareti?
Mapepo wanauliza swali wakimaanisha kuwa hakuna sababu ya Yesu kuwaingilia na wanatamani yeye aondoke. " Yesu wa Nazareti, tuache sisi peke yetu! Hakuna sababu ya wewe kutuingilia sisi."
Je! Umekuja kutuangamiza sisi?
Mapepo wanauliza swali kumsihi Yesu asiwadhuru. "Usi tuharibu sisi!"
alimtupa yeye chini
Hapa neno "yeye" lina rejea kwa mtu aliye pagawa na mapepo.
wakati analia kwa sauti kubwa
Pepo ndiye anayelia, wala siyo mtu.