1.1 KiB
Maelezo ya Jumla
Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Tatu ya kitabu
Nini hiyo inayo toka nyikani
Kundi la watu wanao safiri kutoka nyikani kwenda Yerusalemu. Kwasababu nyikani iko chini ya bonde la Yordani na Yerusalemu iko juu ya milima, watu lazima waende juu kufikia Yerusalemu.
kama nguzo za moshi
Kwasababu watu walitimua vumbi sana walipo kuwa wakisafiri, vumbi lilionekana kama moshi kwa mbali.
umefukizwa manemane na ubani
"harufu nzuri ya moshi wa manemane na uvumba umeizunguka."
pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara
"na harafu nzuri ya moshi wote unga wafanya bihashara wanauza."
unga
udogo safi unao patikana kwa kusaga kitu kigumu
Angalia
Hili neno hapa linaonyesha kuwa mnenaji sasa amegundua jibu kwa swali la mstari wa 6.
nikitanda
Hii ya husu kitanda chenye shuka linalo weza kubwa sehemu moja kwenda nyingine.
mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Hii mistari miwili ya husu watu hao hao sitini. Mstari wa pili wa fafanua kuwa "mashujaa" ni "wanajeshi wa Israeli."
mashujaa
wanaume wanao pigana