forked from WA-Catalog/sw_tn
393 B
393 B
Wafu waliobaki
"watu wote wengine waliokufa"
miaka elfu ilipokuwa imeisha
"mwisho wa miaka 1,000"
Mauti ya pili haina nguvu juu ya watu hawa
Hapa Yohana anafafanua "mauti" kama mtu mwenye nguvu. "Watu hawa hawatapitia kifo cha pili"
Mauti ya pili
"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto la 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto."