forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
406 B
Markdown
17 lines
406 B
Markdown
# Matendo yako yanaogofya
|
|
|
|
Matendo ya Mungu yanatusababisha kuwa katika mshangao na kuogopa kwa sababu tunajua kuwa ana uwezo na ni mtakatifu.
|
|
|
|
# Kwa ukuu wa uwezo wako
|
|
|
|
"Kwa sababu una uwezo mkuu"
|
|
|
|
# Dunia yote itakuabudu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wote wanaoishi duniani. "Watu wote duniani watakuabudu"
|
|
|
|
# wataimba kwa jina lako
|
|
|
|
Hapa "jina lako" linamaanisha Mungu mwenyewe. "watakusifu na kukupa heshima"
|
|
|