forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
651 B
Markdown
17 lines
651 B
Markdown
# wataenda chini kwenye sehemu za chini zaidi za dunia
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa watakufa na kwenda sehemu ya wafu. "watakufa na kushuka katika sehemu ya wafu" au "watakufa na kwenda chini katika sehemu ya wafu"
|
|
|
|
# watapewa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga
|
|
|
|
Hapa "upanga" inawakilisha kifo vitani, na "wale ambao mikono yao hutumia upanga" inamaanisha adui ambao wanawaua vitani. "Mungu atawasababisha kufa vitani"
|
|
|
|
# watakuwa chakula cha mbweha
|
|
|
|
Hapa wanaozungumziwa ni maiti za wale wanaokufa vitani. "mbweha watakula miili yao iliyokufa"
|
|
|
|
# mbweha
|
|
|
|
"mbweha" ni aina ya mbwa pori mwenye miguu mirefu. Huwa wanakula mizoga, mawindo, na matunda.
|
|
|