forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
772 B
Markdown
21 lines
772 B
Markdown
# Yeye ni ngao kwa kila mmoja anaye
|
|
|
|
Ngao humlinda askari. Daudi anazungumza kana kwamba Mungu alikuwa ni ngao inayomlinda. "Wewe, Yahwe, unamlinda kila mtu anayekukimbilia wewe kama kimbilio"
|
|
|
|
# Kwa kuwa ni nani Mungu ila Yahwe? Nani ni mwamba ila Mungu wetu?
|
|
|
|
Jibu linalodokezwa ni hakuna mtu. "Yahwe pekee ndiye Mungu! Mungu wetu pekee ndiye mwamba!"
|
|
|
|
# mwamba
|
|
|
|
Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba anaoweza kupanda kuwatoroka adui zake.
|
|
|
|
# anayeniwekea nguvu juu yangu kama mshipi
|
|
|
|
Mungu anampa nguvu Daudi kana kwamba ilikuwa ni kipande cha nguo.
|
|
|
|
# anayemuweka mtu asiye na lawama katika njia yake
|
|
|
|
Hapa Daudi anazungumzia kuishi maisha yanaompendeza Mungu kana kwamba ni kuwa katika njia sahihi. "humsababisha mtu asiye na lawama kuishi maisha ya haki"
|
|
|