sw_tn_fork/psa/018/030.md

21 lines
772 B
Markdown

# Yeye ni ngao kwa kila mmoja anaye
Ngao humlinda askari. Daudi anazungumza kana kwamba Mungu alikuwa ni ngao inayomlinda. "Wewe, Yahwe, unamlinda kila mtu anayekukimbilia wewe kama kimbilio"
# Kwa kuwa ni nani Mungu ila Yahwe? Nani ni mwamba ila Mungu wetu?
Jibu linalodokezwa ni hakuna mtu. "Yahwe pekee ndiye Mungu! Mungu wetu pekee ndiye mwamba!"
# mwamba
Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba anaoweza kupanda kuwatoroka adui zake.
# anayeniwekea nguvu juu yangu kama mshipi
Mungu anampa nguvu Daudi kana kwamba ilikuwa ni kipande cha nguo.
# anayemuweka mtu asiye na lawama katika njia yake
Hapa Daudi anazungumzia kuishi maisha yanaompendeza Mungu kana kwamba ni kuwa katika njia sahihi. "humsababisha mtu asiye na lawama kuishi maisha ya haki"