forked from WA-Catalog/sw_tn
439 B
439 B
Maelezo ya Jumla
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
Mwishoni
"baada ya kunywa"
huuma kama nyoka ...choma kama kifutu
" hukufanya ujisikie vibaya kama umeumwa nyoka au kama kifutu amekuchoma"
kifutu
aina ya nyoka mwenye sumu
moyo wako utasema vitu vya kupotosha
"utafikiri na kuamua vitu vya kupotosha"
vitu vya kupotosha
vitu ambayo Mungu amevitaja kuwa vibaya na viovu ; vitu ambavyo havifai