forked from WA-Catalog/sw_tn
606 B
606 B
kutenda haki
"kufanya kila ambacho Yahwe anafikiri kuwa ni haki"
kutenda ...haki
"kuwatendea watu namna Yahwe anavyotaka watu kuwatendea watu wengine"
haki inakubalika zaidi mbele ya Yahwe
"Yahwe anataka zaidi-haki
macho yenye kiburi na moyo wa majivuno
"watu wanaotaka wengine kufikiri kuwa ni bora kuliko watu wengine"
macho yenye kiburi
mtu ambaye anataka watu wengine wafahamu kwamba anafikiri yeye ni bora kuliko wao.
moy wa majivuno
mtu ambaye hufikiri yeye ni bora kuliko wengine
taa ya waovu
"mambo ambayo huwasaidia watu waovu kama taa inavyosaidia kuon kwenye giza"