forked from WA-Catalog/sw_tn
732 B
732 B
mvinyo ni dhihaka na kileo ni mgomvi
Hapa inaeleza juu ya hatari ya kunywa pombe nyingi
mvinyo ni dhihaka
"mtu ambaye hulewa kwa mvinyo hudhihaki"
kileo ni mgomvi
"mtu ambaye hulewa kwa kileo huanzisha mapinga"
mgomvi
mtu ambaye hupigan kwa makelele, hasa katika sehemu za watu wengi
yeyote ambaye hupotea kwa kunywa hana busara
"anayekunywa hadi kushindwa kufikiri vizuri "
kwa kunywa
"kunywa" hapa inamaanisha kunywa pombe
hana busara
"ni mpumbavu"
kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana anayeunguruma
ghadhabu ya mfalme hufanya watu waogope kama vile wanakabiliana na simba kijana mwenye kuunguruma"
mwenye kumkasirisha
"kumfanya mfalme akasirike"
hufidia uhai wake
"atakufa"