forked from WA-Catalog/sw_tn
355 B
355 B
Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale ambao wamemtuma
"siki" na "moshi" vinawakilisha mambo ambayo huumiza macho na meno ya mtu. " Kumtuma mtu mvivu kwenda kukamilisha kazi haifai na inaleta uchungu"
siki
kimiminika kichungu hutumiwa kwa radha au kutunza chakula.
miaka ya waovu
" muda wa kuishi mtu mwovu"