sw_tn_fork/pro/05/13.md

214 B

kutega masikio yangu kwa walimu wangu

'"kuwasikiliza wale walionielekeza"

katikati ya kusanyiko, miongoni mwa watu waliokusanyika

jumuiya ilikusanyika ama kumwabudu Mungu au kuhukumu dhidi ya makosa yake.