forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
844 B
Markdown
33 lines
844 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu
|
|
|
|
# Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote
|
|
|
|
'Hivi karibuni wakati utakuja ambapo Bwana atawaonyesha mataifa yote kuwa yeye ni Bwana.'
|
|
|
|
# Kama ulivyofanya, utafanyiwa kwako
|
|
|
|
"Nitawafanyia mambo yale uliyowafanyia wengine."
|
|
|
|
# matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako
|
|
|
|
AT "utapata matatizo kwa mambo uliyoyafanya."
|
|
|
|
# Kwa vile wewe
|
|
|
|
Neno "wewe" kwa watu wa Edomu.
|
|
|
|
# kama mlevi
|
|
|
|
Manabii huelezea watu ambao Bwana aliadhibu kama kunywa adhabu kutoka kwa Bwana AT 'kama nilivyowaadhibu.'
|
|
|
|
# Mlima wangu mtakatifu
|
|
|
|
Hii ilikuwa njia ya kutaja Yerusalemu.
|
|
|
|
# Mataifa yote yatakunywa daima
|
|
|
|
AT "Nitawaadhibu mataifa yote bila kuacha." Bwana aliadhibu Yerusalemu, lakini aliacha kabla ya kuwaangamiza watu wote. Hata hivyo, atawaadhibu mataifa yote mpaka hawako tena.
|
|
|