forked from WA-Catalog/sw_tn
569 B
569 B
Sentensi unganishi
Baada ya wanafunzi kurudi toka kuhubiri na kuponya, wanaenda sehemu nyingine kuwa na faragha, lakini kuna watu wengi wanakuja kumsikiliza Yesu anafundisha. Wakati ambapo kunakuwa jioni, anawalisha watu na kisha anawatuma kila mmoja wakati akiomba peke yake.
eneo la jangwa
eneo ambalo halikuwa na watu
wengi walikuwa wanakuja na kwenda
Hii inamaanisha kwamba watu waliendelea kuja kwa mitume na kisha kwenda mbali nao.
hata hawakuwa
Neno "hawa" urejea kwa mitume.
Hivyo walienda zao
Hapa neno "wali" inawajumuisha mitume na Yesu.