sw_tn_fork/mic/01/02.md

718 B

Maelezo ya jumla:

Inazungumzia kuhusu hukumu juu ya Samaria.

Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni Dunia, na vyote vilivyomo ndani yako

Sentensi zote hizi zinamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba kila mtu aliye duniani anapaswa kusikiliza. Mika anaongea kana kwamba watu wote wa dunia walikuwa pale wakimsikiliza.

atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu ya ya nchi

atapaharibu mahali pa juu kabisa juu ya nchi kana kwamba alikuwa akiwakanyaga kwa miguu yake"

Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji yaliyomwagika chini ya mteremko mkali.

Hii inamaana wakati Mungu atakapokuja kuziharibu madhabahu za wapagani hakuna jambo litakalomzuia.