Sentensi unganishi
Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane
na akaanza kuhuzuniaka
"na akawa na huzuni sana"
Roho yangu inahuzuni kubwa sana
Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana"
kiasi cha kufa
"Najihisi kama nataka kufa"