forked from WA-Catalog/sw_tn
446 B
446 B
Maelezo kwa ujumla
Huu ni mwanzo wa sehehmu mpya wa simulizi amablao linaelezea kusulibiwa kwa Yesu, kufa na kufufuka. Hapa anawaeleza wanafunzi wake jinsi atakavyoteseka
Wakati Yesu alipomaliza
"kisha " au"baadaye"
Maneno haya yote.
Tazama 24:3
Mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe.
"Baadhi ya watu watamtoa Mwana wa Adamu kwa watu wengine ambao watamsulibisha."
Mwana wa Adamu
Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake