forked from WA-Catalog/sw_tn
491 B
491 B
Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?
Wanafunzi wanatumia swali kuonesha mshangao wao. "Tumeduwaa kuona kuwa ule mtiini umenyauka haraka!"
kweli nawaambieni.
"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaonggeza msisitizo wa kile Yesu anachosema baadaye.
kama mkiwa na imani na bila wasiwasi
kama mtaamini kwa ukweli
kunyauka
"kukauka na kufa"
mtauambia hata huo mlima, 'uchukuliwe na kutupwa baharini;
mtaweza kuumbia mlima huu kuondoka na kutupwa baharini"
itafanyika
itatokea