forked from WA-Catalog/sw_tn
435 B
435 B
Sentensi unganishi
Yesu anaelzea mfano wa mtu mmoja aliyekuwa anamiliki shamba anayeajiri wafanya kazi, ili kufafanua jinsi atakavyowalipa watu wa ualme wake.
Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana
Tazama 13:24
Baada ya kukubaliana
"baada ya mmiliki wa shamba kukubaliana"
Dinari moja
"malipo ya kibarau ya siku moja"
aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu
aliwatuma kwenda kufanya kazi katika shamba lake