forked from WA-Catalog/sw_tn
371 B
371 B
Sentensi unganishi
Tukio lifuatalo lilitokea mara tu baada ya wale wanafunzi watatu kushuhudia Yesu akibadilishwa
Na walipokuwa
Na Yesu na wanafunzi wake
mwana wa Adamu
yeye anajinenea mwenyewe
kwa nini wandishai husema kuwa Eliya atakuja kwanza?
Wanafunzi wanazingatia mafundisho ya kwamba Eliya atarudi kwanza kwa wana wa Israel kabla ya Masihi kurudi