forked from WA-Catalog/sw_tn
466 B
466 B
Sentensi unganishi
Yesu anaanza kuwafundisha makutano na wanafunzi wake juu ya kile kinachomtia mtu unajisi na kwa nini mMafarisayo na waandishi walikuwa wamekosea kumkosoa Yesu
Sikilizeni na mfahamu
Sikilizeni kwa makini kile ninachosema ili muelewe maana yake.
Kiingiacho mdomono ... kitokacho kinywani
Yesu anatofautisha kile ambacho mtu hula na kile asemacho. Yesu anamaanisha kuwa Mungu hujali zaidikile ambacho mtu husema kuliko kile ambacho hula