forked from WA-Catalog/sw_tn
552 B
552 B
Sentensi unganishi
Hii inahitimisha simulizi la Yesu la kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi
Maelezo kwa ujumla
Mstari wa 26 unatoa muhtasari unaofafanua matokeo ya Yesu kumfufua huyu msichana.
Na wale watu walipotolewa nje
"Baada ya yesu kuwatoa watu nje" au "Baada ya familia kuwatoa watu nje"
akaamka
"akaamka kutoka kitandani" Hii ni maana ile ile kama iliyo kwenye 8:14
Habari hii ikaenea mji mzima
Watu wote wa mji ule walisikia kuhusu hilo" au "Watu walioona binti akiwa hai walianza kuwaambia watu wa eneo hilo habari hizi."