forked from WA-Catalog/sw_tn
800 B
800 B
Jihadharini na
"jilindeni na"
wanakuja wamevaa ngozi ya kondoo,lakini kweli ni mbwa wakali
Huu msemo una maana manabii wa uongo watajifanya wazuri na kutaka kuwasaidia, lakini kwa ualisia ni waovu na watawadhuru.
Kwa matunda yao utawatambua
Huu msemo unarejea matendo ya mtu. "Kama vile unavyofahamu mti kwa tunda linalotokea, utamtabua nabii wa uongo kwa matendo yao."
Je watu wanaweza kuvuna ....miiba?
Yesu anatumia swali kujibu watu. Watu wangetambua kwamba jibu siyo. "watu hawezi kuvuna...miba."
kila mti mzuri huzaa matunda mazuri
Yesu anaendelea kutumia msemo wa tunda akimaanisha nabii mzuri ambaye anafanya kazi nzuri au maneno mazuri.
mti mbaya huzaa matunda mabaya
Yesu anaendelea kutumia mfano wa matunda kwa kurejea kwa nabii mbaya ambaye anafanya kazi ya uovu.