forked from WA-Catalog/sw_tn
559 B
559 B
Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko.
Tafsiri mbadala: "Kisha akawawezesha kuyaelewa maandiko"
Kwamba imeandikwa
Tafsiri mbadala: "Hivi ndivyo watu hapo zamani waliandika"
siku ya tatu
"baada ya usiku mbili"
toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe
Tafsiri mbadala: "wafuasi wa Kristo inawapasa kuhubiri kwamba watu wanahitaji kutubu ili Mungu awasamehe dhambi zao"
kwa jina lake
Tafsiri mbadala: "kama wawakilishi wake" au "na mamlaka yake"
mataifa yote
"makabila yote kwenye jamii" au "makundi yote ya watu"